Nyumba ya Sanaa
Serikali ya Kenya imeendelea kutilia mkazo suala la kukagua maudhui ya kazi za sanaa nchini humo kwa lengo la kuhakikisha kuwa, ujumbe wa filamu na muziki sio wa kupotosha. Tunaangazia hili na afisa katka bodi ya filamu nchini humo Bonventure Kioko.
27 episoder
Comments
0Be the first to comment
Sign up now and become a member of the Nyumba ya Sanaa community!