Augustine Thumbi
Mpendwa,ubarikiwe saana,unapoyasikiliza mashairi haya ya kumtukuza Mungu.Ni maneno ya uzima yatakayokupa faraja katika Hali yako hii,na katika ulimwengu huu uliotibuka kwa Kila tafrani ya dhiki.Natamani tushiriki pamoja ,katika tuo hili la faraja.Amina
2 episoder
Kommentarer
0Vær den første til at kommentere
Tilmeld dig nu og bliv en del af Augustine Thumbi-fællesskabet!