Habari RFI-Ki

Argentina kuvaana na Uhuspania kwenye fainali

9 min · I går
episode Argentina kuvaana na Uhuspania kwenye fainali cover

Beskrivelse

Fainali ya kombe la dunia katika mchezo wa soka, itawakutanisha mabingwa watetezi Argentina na Hispania waliowahi kushinda taji hili mwaka 2010. Mechi hiyo itapigwa siku ya Jumapili nchini Marekani. Unatarajia nani ataibuka mshindi katika mechi hiyo na kwanini. Skiza ya mskilizaji

Kommentarer

0

Vær den første til at kommentere

Tilmeld dig nu og bliv en del af Habari RFI-Ki-fællesskabet!

Kom i gang

1 måned kun 9 kr.

Derefter 99 kr. / måned · Opsig når som helst.

  • Podcasts kun på Podimo
  • 20 lydbogstimer pr. måned
  • Gratis podcasts

Alle episoder

17 episoder