Habari RFI-Ki

Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana

9 min · I går9 min
episode Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana cover

Beskrivelse

Mkutano wa Afrika forward unaoongozwa na Ufaransa umeanza leo jijini Nairobi ambapo karibia marais 30 ,kutoka barani Afrika wanatarajiwa kuudhuria ili kujadili ushirikiano katika sekta ya uchumi wa buluu, mazingira ,afya na kilimo. Mkutano huu umetoa kipaumbele ka ajenda zinazowahusu vijana, na hasa matumizi ya teknolojia, akili unde au AI na namna vijana wanaweza kukumbatia fursa katika sekta hizo.

Kommentarer

0

Vær den første til at kommentere

Tilmeld dig nu og bliv en del af Habari RFI-Ki-fællesskabet!

Kom i gang

2 måneder kun 19 kr.

Derefter 99 kr. / måned · Opsig når som helst.

  • Podcasts kun på Podimo
  • 20 lydbogstimer pr. måned
  • Gratis podcasts
Kom i gang

Alle episoder

13 episoder