Wanangu podcast
Katika episode hii, host anachambua dhana ya “kila zama na kitabu chake” na jinsi uhalisia unavyoundwa na nyakati tunazoishi. Aidha, anaeleza kuwa licha ya kila mtu kuwa na mtazamo wake binafsi, mitazamo ya pamoja huwa na nguvu kubwa katika namna tunavyoitazama na kuielewa dunia. Karibu!
94 episodes
Comments
0Be the first to comment
Sign up now and become a member of the Wanangu podcast community!