Washkaji Podcast
Tohara ya hiyari kwa Mwanaume: Ni umri gani sahihi wa kufanya Mwanaume kufanyiwa Tohara/ kukata Mkono wa Sweta?
Sé la primera persona en comentar
¡Regístrate ahora y únete a la comunidad de Washkaji Podcast!
$99 / mes después de la prueba. · Cancela cuando quieras.
9 episodios
EP 03: Afya ya Akili na Mahusiano with Dr. Maymuna Mohammed
Afya ya Akili imezungumziwa kwa kina, Faida na Umuhimu wa Wanaume kufunguka na kuzungumzia yanayowasibu kwa uwazi, namna ya kutengeneza mazingira rafiki kwa afya ya akili bila kusahau Afya ya akili kama funguo kuu kwenye mahusiano....unahitaji nini ili kuwa na Afya bora ya akili kwa Mahusiano yako kusonga. Kupitia Podcast hii Daktari Kijana na Machachari Maymuna Mohammed ameeleza kwa kina #AfyaYaAkili #Akili #Afya #MentalHealth #Relationships #Health #Wanaume
Ep02: Stori na ADRIAN NZAMBA, Mjasiriamali wa Teknolojia na mmiliki wa TAYARI App
Mjasiriamali wa Teknolojia, TAYARI App.
Ep01: STORI NA WASHKAJI: Kazi ya ndoto yako.
#WashkajiTunaongea! Kuhusu Siri za Mafanikio Kazini, Ujuzi wa ziada mbali na taaluma, Maandalizi ya Kustaafu na mengine kadhaa kwa ajili ya Kazi ya ndoto yako!. #WashkajiDrivingPodcast #washkajiPodcast #Mvumbagumo #SwahiliPodcast
UBALOZINI LEO: KUKATA MKONO WA SWETA: TOHARA YA HIYARI KWA MWANAUME (PROMO)
UBALOZINI LEO: UVUMI KUHUSU VIZA YA KUINGIA NCHINI MAREKANI
Una ndoto au Unahitaji kuingia nchini Marekani? Kuna Uvumi mwingi unasambaa kuhusu namna au njia sahihi ya kupata Viza ya Kuingia Nchini Marekani, Kupitia Podcast hii, tumekuletea afisa wa Ubalozi anayeshughulika na masuala ya Visa akitoa ufafanuzi kamili.
Comentarios
0Sé la primera persona en comentar
¡Regístrate ahora y únete a la comunidad de Washkaji Podcast!