Wanangu podcast
Katika episode hii, host anachambua dhana ya “kila zama na kitabu chake” na jinsi uhalisia unavyoundwa na nyakati tunazoishi. Aidha, anaeleza kuwa licha ya kila mtu kuwa na mtazamo wake binafsi, mitazamo ya pamoja huwa na nguvu kubwa katika namna tunavyoitazama na kuielewa dunia. Karibu!
94 afleveringen
Reacties
0Wees de eerste die een reactie plaatst
Meld je nu aan en word lid van de Wanangu podcast community!