Augustine Thumbi
Mpendwa,ubarikiwe saana,unapoyasikiliza mashairi haya ya kumtukuza Mungu.Ni maneno ya uzima yatakayokupa faraja katika Hali yako hii,na katika ulimwengu huu uliotibuka kwa Kila tafrani ya dhiki.Natamani tushiriki pamoja ,katika tuo hili la faraja.Amina
2 episodes
Comments
0Be the first to comment
Sign up now and become a member of the Augustine Thumbi community!