Gurudumu la Uchumi

Kutoka taslimu hadi kidijitali: Namna simu zinavyobadili mfumo wa malipo Afrika

10 min · 10. juni 2026
episode Kutoka taslimu hadi kidijitali: Namna simu zinavyobadili mfumo wa malipo Afrika cover

Description

Ufanyaji biashara na utumaji wa fedha kwa njia ya simu za kiganjani barani Afrika unakua kwa kasi, pochi za simu zimerekodi takriban asilimia 19 ya uingiaji wa pesa kwenye eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku wastani wa gharama ya utumaji pesa ukishuka hadi karibu asilimia 3.54 hii ni kwa mujibu wa benki ya dunia. Kwanye Makala ya Gurudumu la uchumi wiki hii, tunaangazia matumizi ya telknolojia za malipo ya mtandaoni hasa kupitia simu, jina langu ni Emmanuel Makundi, Karibu.

Comments

0

Be the first to comment

Sign up now and become a member of the Gurudumu la Uchumi community!

Get Started

1 month for 9 kr.

Then 99 kr. / month · Cancel anytime.

  • Podcasts kun på Podimo
  • 20 lydbogstimer pr. måned
  • Gratis podcasts

All episodes

24 episodes