Mch. Peter Msigwa ni Mwanasiasa wa Tanzania, Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini kwa kipindi cha muda mrefu tangu mwaka 2010. Ingawa alikuwa mwanachama wa CHADEMA awali, alijiunga na chama tawala CCM mnamo Juni mwaka 2024.
Comments
0
Be the first to comment
Sign up now and become a member of the Siasa Zetu community!
Comments
0Be the first to comment
Sign up now and become a member of the Siasa Zetu community!