Wanangu podcast
Katika episode hii, host anachambua dhana ya “kila zama na kitabu chake” na jinsi uhalisia unavyoundwa na nyakati tunazoishi. Aidha, anaeleza kuwa licha ya kila mtu kuwa na mtazamo wake binafsi, mitazamo ya pamoja huwa na nguvu kubwa katika namna tunavyoitazama na kuielewa dunia. Karibu!
94 Episoder
Kommentarer
0Vær den første til å kommentere
Registrer deg nå og bli medlem av Wanangu podcast sitt community!