Gurudumu la Uchumi

Kutoka taslimu hadi kidijitali: Namna simu zinavyobadili mfumo wa malipo Afrika

10 min · 10. juni 2026
episode Kutoka taslimu hadi kidijitali: Namna simu zinavyobadili mfumo wa malipo Afrika cover

Beskrivelse

Ufanyaji biashara na utumaji wa fedha kwa njia ya simu za kiganjani barani Afrika unakua kwa kasi, pochi za simu zimerekodi takriban asilimia 19 ya uingiaji wa pesa kwenye eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku wastani wa gharama ya utumaji pesa ukishuka hadi karibu asilimia 3.54 hii ni kwa mujibu wa benki ya dunia. Kwanye Makala ya Gurudumu la uchumi wiki hii, tunaangazia matumizi ya telknolojia za malipo ya mtandaoni hasa kupitia simu, jina langu ni Emmanuel Makundi, Karibu.

Kommentarer

0

Vær den første til at kommentere

Tilmeld dig nu og bliv en del af Gurudumu la Uchumi-fællesskabet!

Kom i gang

1 måned kun 9 kr.

Derefter 99 kr. / måned · Opsig når som helst.

  • Podcasts kun på Podimo
  • 20 lydbogstimer pr. måned
  • Gratis podcasts

Alle episoder

24 episoder