Gurudumu la Uchumi

Je, kukopa kunasaidia ukuaji wa uchumi au kunaleta hatari za siku zijazo?

10 min · 24. juni 2026
episode Je, kukopa kunasaidia ukuaji wa uchumi au kunaleta hatari za siku zijazo? cover

Beskrivelse

Msikilizaji nchi nyingi za Afrika Mashariki zimeendelea kukopa ili kufadhili maendeleo, na huku wadau wengine wakisema mikopo ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi, Wengine wanaonya kuwa madeni yanapoongezeka kupita kiasi, serikali hulazimika kutumia fedha nyingi kulipa madeni hayo badala ya kuboresha huduma muhimu kama vile afya, elimu na ajira. Katika Makala ya Gurumu la Uchumi hivi leo, tunauliza: Je, deni la taifa ni daraja la maendeleo au ni mzigo unaoweza kuathiri uchumi wa Afrika?

Kommentarer

0

Vær den første til at kommentere

Tilmeld dig nu og bliv en del af Gurudumu la Uchumi-fællesskabet!

Kom i gang

1 måned kun 9 kr.

Derefter 99 kr. / måned · Opsig når som helst.

  • Podcasts kun på Podimo
  • 20 lydbogstimer pr. måned
  • Gratis podcasts

Alle episoder

24 episoder