Gurudumu la Uchumi

Mkutano wa 'Africa Forward' una maana gani kwa mustakabali wa Afrika

9 min · 6. maj 2026
episode Mkutano wa 'Africa Forward' una maana gani kwa mustakabali wa Afrika cover

Beskrivelse

Tarehe 11 na 12 ya wiki ijayo, Jiji la Nairobi, Kenya litakuwa mwenyeji wa mkutano wa kwanza wa kihistoria wa ‘Africa Forward’ kati ya Ufaransa na Afrika, mkutano ambao unafanyika kwenye nchi inazungumza Kingereza, ambapo viongozi wa Afrika, wafanyabiashara na wabunifu vijana kutoka Afrika na Ufaransa watakongamana kwa siku mbili. Kwenye Makala ya Gurudumu la Uchumi hivi leo tunaangazia uhusiano mpya kati ya Ufaransa na Afrika, wachambuzi wetu ni Ali Mkimo na Hamduni Marcel.

Kommentarer

0

Vær den første til at kommentere

Tilmeld dig nu og bliv en del af Gurudumu la Uchumi-fællesskabet!

Kom i gang

1 måned kun 9 kr.

Derefter 99 kr. / måned · Opsig når som helst.

  • Podcasts kun på Podimo
  • 20 lydbogstimer pr. måned
  • Gratis podcasts

Alle episoder

24 episoder