Siha Njema

Majanga yanaweza kusababisha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa watoto

9 min · 6. juni 2026
episode Majanga yanaweza kusababisha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa watoto cover

Beskrivelse

Mataifa ya Afrika yameshuhudia mafuriko katika miaka ya hivi karibuni ,hali ambayo imesababisha wananchi wengi kulazimika kuhama makazi yao Nchini Kenya ,ukanda wa magharibi ,katika eneo la Busia,mafuriko hayo yamevuruga kalenda za wanafunzi wa shule ,watoto wengi wakishindwa kuendelea na shule au kukubaliana na msongamano kwenye shule chache ambazo ziko maeneo salama Hali hii imewasababisha changamoto za afya ya akili anavyoeleza mwaandishi wetu Petronila Ogalo.

Kommentarer

0

Vær den første til at kommentere

Tilmeld dig nu og bliv en del af Siha Njema-fællesskabet!

Kom i gang

1 måned kun 9 kr.

Derefter 99 kr. / måned · Opsig når som helst.

  • Podcasts kun på Podimo
  • 20 lydbogstimer pr. måned
  • Gratis podcasts

Alle episoder

226 episoder