Siha Njema

Watalaam wasisitiza uwekezaji wa utafiti wa DNA barani Afrika

9 min · 5. maj 2026
episode Watalaam wasisitiza uwekezaji wa utafiti wa DNA barani Afrika cover

Beskrivelse

Utafiti unaoangazia vinasaba katika ukanda wa Afrika unaweza kuwa jawabu kwa ubainishaji potovu,gharama ya juu ya matibabu na usugu wa vimelea .  Kwa kuanzia , Mashirika matatu ya Afrika ya kitafiti  yametangaza mkataba wa dola milioni 3 nukta 5 ambao utawekezwa  kwenye utafiti  huu wa DNA  barani . Mashirika haya yakiwa ni Biolinx Africa,  YTO Foundation  yenye makao Ivory Coast na  Nextgen Molecular Lab nchini Kenya.

Kommentarer

0

Vær den første til at kommentere

Tilmeld dig nu og bliv en del af Siha Njema-fællesskabet!

Kom i gang

1 måned kun 9 kr.

Derefter 99 kr. / måned · Opsig når som helst.

  • Podcasts kun på Podimo
  • 20 lydbogstimer pr. måned
  • Gratis podcasts

Alle episoder

226 episoder