Habari RFI-Ki

Maoni yako kuhusu kauli ya rais Samia kuhusu kukabili vijana wa Gen Z

9 min · 8. touko 20269 min
jakson Maoni yako kuhusu kauli ya rais Samia kuhusu kukabili vijana wa Gen Z kansikuva

Kuvaus

Rais  Samia Suluhu Hassan, anataka Kenya na nchi yake ya Tanzania kushirikiana ili kukabili uanaharakati wa 'kuvuka mipaka'  kutoka kwa vijana wa Gen Z ambao ameelezea unatishia amani na usalama wa nchi nchi za Afrika Mashariki.   Unazungumziaje kauli hii ya rais Samia? Unadhani ni sahihi kwa vijana kuadhibiwa kwa kushinikiza mabadiliko kwenye nchi zao?

Kommentit

0

Ole ensimmäinen kommentoija

Rekisteröidy nyt ja liity Habari RFI-Ki-yhteisöön!

Aloita nyt

3 kuukautta hintaan 3,99 €

Sitten 7,99 € / kuukausi · Peru milloin tahansa.

  • Podimon podcastit
  • 20 kuunteluaikaa / kuukausi
  • Lataa offline-käyttöön
Aloita nyt

Kaikki jaksot

13 jaksot