Habari RFI-Ki

Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana

9 min · Eilen9 min
jakson Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana kansikuva

Kuvaus

Mkutano wa Afrika forward unaoongozwa na Ufaransa umeanza leo jijini Nairobi ambapo karibia marais 30 ,kutoka barani Afrika wanatarajiwa kuudhuria ili kujadili ushirikiano katika sekta ya uchumi wa buluu, mazingira ,afya na kilimo. Mkutano huu umetoa kipaumbele ka ajenda zinazowahusu vijana, na hasa matumizi ya teknolojia, akili unde au AI na namna vijana wanaweza kukumbatia fursa katika sekta hizo.

Kommentit

0

Ole ensimmäinen kommentoija

Rekisteröidy nyt ja liity Habari RFI-Ki-yhteisöön!

Aloita nyt

3 kuukautta hintaan 3,99 €

Sitten 7,99 € / kuukausi · Peru milloin tahansa.

  • Podimon podcastit
  • 20 kuunteluaikaa / kuukausi
  • Lataa offline-käyttöön
Aloita nyt

Kaikki jaksot

13 jaksot