Siha Njema

Majanga yanaweza kusababisha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa watoto

9 min · 6. kesä 2026
jakson Majanga yanaweza kusababisha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa watoto kansikuva

Kuvaus

Mataifa ya Afrika yameshuhudia mafuriko katika miaka ya hivi karibuni ,hali ambayo imesababisha wananchi wengi kulazimika kuhama makazi yao Nchini Kenya ,ukanda wa magharibi ,katika eneo la Busia,mafuriko hayo yamevuruga kalenda za wanafunzi wa shule ,watoto wengi wakishindwa kuendelea na shule au kukubaliana na msongamano kwenye shule chache ambazo ziko maeneo salama Hali hii imewasababisha changamoto za afya ya akili anavyoeleza mwaandishi wetu Petronila Ogalo.

Kommentit

0

Ole ensimmäinen kommentoija

Rekisteröidy nyt ja liity Siha Njema-yhteisöön!

Aloita maksutta

14 vrk ilmainen kokeilu

Kokeilun jälkeen 7,99 € / kuukausi. · Peru milloin tahansa.

  • Podimon podcastit
  • 20 kuunteluaikaa / kuukausi
  • Lataa offline-käyttöön

Kaikki jaksot

226 jaksot