Siha Njema

Watalaam wasisitiza uwekezaji wa utafiti wa DNA barani Afrika

9 min · 5. touko 2026
jakson Watalaam wasisitiza uwekezaji wa utafiti wa DNA barani Afrika kansikuva

Kuvaus

Utafiti unaoangazia vinasaba katika ukanda wa Afrika unaweza kuwa jawabu kwa ubainishaji potovu,gharama ya juu ya matibabu na usugu wa vimelea .  Kwa kuanzia , Mashirika matatu ya Afrika ya kitafiti  yametangaza mkataba wa dola milioni 3 nukta 5 ambao utawekezwa  kwenye utafiti  huu wa DNA  barani . Mashirika haya yakiwa ni Biolinx Africa,  YTO Foundation  yenye makao Ivory Coast na  Nextgen Molecular Lab nchini Kenya.

Kommentit

0

Ole ensimmäinen kommentoija

Rekisteröidy nyt ja liity Siha Njema-yhteisöön!

Aloita maksutta

14 vrk ilmainen kokeilu

Kokeilun jälkeen 7,99 € / kuukausi. · Peru milloin tahansa.

  • Podimon podcastit
  • 20 kuunteluaikaa / kuukausi
  • Lataa offline-käyttöön

Kaikki jaksot

226 jaksot