Habari RFI-Ki

Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana

9 min · Gisteren9 min
aflevering Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana cover

Beschrijving

Mkutano wa Afrika forward unaoongozwa na Ufaransa umeanza leo jijini Nairobi ambapo karibia marais 30 ,kutoka barani Afrika wanatarajiwa kuudhuria ili kujadili ushirikiano katika sekta ya uchumi wa buluu, mazingira ,afya na kilimo. Mkutano huu umetoa kipaumbele ka ajenda zinazowahusu vijana, na hasa matumizi ya teknolojia, akili unde au AI na namna vijana wanaweza kukumbatia fursa katika sekta hizo.

Reacties

0

Wees de eerste die een reactie plaatst

Meld je nu aan en word lid van de Habari RFI-Ki community!

Begin hier

2 maanden voor € 1

Daarna € 9,99 / maand · Elk moment opzegbaar.

  • Podcasts die je alleen op Podimo hoort
  • 20 uur luisterboeken / maand
  • Gratis podcasts
Begin hier

Alle afleveringen

13 afleveringen