Siha Njema

Watalaam wasisitiza uwekezaji wa utafiti wa DNA barani Afrika

9 min · 5 mei 2026
aflevering Watalaam wasisitiza uwekezaji wa utafiti wa DNA barani Afrika artwork

Beschrijving

Utafiti unaoangazia vinasaba katika ukanda wa Afrika unaweza kuwa jawabu kwa ubainishaji potovu,gharama ya juu ya matibabu na usugu wa vimelea .  Kwa kuanzia , Mashirika matatu ya Afrika ya kitafiti  yametangaza mkataba wa dola milioni 3 nukta 5 ambao utawekezwa  kwenye utafiti  huu wa DNA  barani . Mashirika haya yakiwa ni Biolinx Africa,  YTO Foundation  yenye makao Ivory Coast na  Nextgen Molecular Lab nchini Kenya.

Reacties

0

Wees de eerste die een reactie plaatst

Meld je nu aan en word lid van de Siha Njema community!

Probeer gratis

Probeer 14 dagen gratis

€ 9,99 / maand na proefperiode. · Elk moment opzegbaar.

  • Podcasts die je alleen op Podimo hoort
  • 20 uur luisterboeken / maand
  • Gratis podcasts

Alle afleveringen

226 afleveringen