Wanangu podcast
Episode hii inaangazia maisha na mchango wa Ignaz Semmelweis, daktari wa karne ya 19 aliyegundua kwamba kunawa mikono kabla ya kuwahudumia wagonjwa kulipunguza kwa kiasi kikubwa vifo vya wanawake waliokuwa wanajifungua. Licha ya ushahidi wake kuokoa maisha mengi, alipingwa na kudharauliwa na jamii ya kitabibu ya wakati wake kwa sababu mawazo yake yalikwenda kinyume na imani zilizokuwepo. Mwisho wake haukuwa mzuri.
97 afleveringen
Reacties
0Wees de eerste die een reactie plaatst
Meld je nu aan en word lid van de Wanangu podcast community!