Habari RFI-Ki

Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana

9 min · I går9 min
episode Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana cover

Beskrivelse

Mkutano wa Afrika forward unaoongozwa na Ufaransa umeanza leo jijini Nairobi ambapo karibia marais 30 ,kutoka barani Afrika wanatarajiwa kuudhuria ili kujadili ushirikiano katika sekta ya uchumi wa buluu, mazingira ,afya na kilimo. Mkutano huu umetoa kipaumbele ka ajenda zinazowahusu vijana, na hasa matumizi ya teknolojia, akili unde au AI na namna vijana wanaweza kukumbatia fursa katika sekta hizo.

Kommentarer

0

Vær den første til å kommentere

Registrer deg nå og bli medlem av Habari RFI-Ki sitt community!

Kom i gang

2 Måneder for 19 kr

Deretter 99 kr / Måned · Avslutt når som helst.

  • Eksklusive podkaster
  • 20 timer lydbøker i måneden
  • Gratis podkaster
Kom i gang

Alle episoder

13 Episoder