Gurudumu la Uchumi

Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika

10 min · 22. juli 2026
Billede af episoden Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika

Description

Katika Makala haya hivi leo tunajadili uhusiano kati ya siasa za kimataifa na uchumi wa wananchi wa Afrika, mara yingi tunasikia taarifa za vita, migogoro ya kisiasa au mivutano kati ya mataifa makubwa kama Urusi na Ukraine, Mashariki ya Kati, au migogoro inayovuruga usafirishaji wa bidhaa duniani. Kuzungumzia hili, hivi leo nimemualika Safari Fungo, mtaalamu wa masuala ya uchumi, utangamano wa kikanda na biashara za kimataifa akiwa Dar es Salaam, Tanzania.

Comments

0

Be the first to comment

Sign up now and become a member of the Gurudumu la Uchumi community!

Get Started

1 month for 9 kr.

Then 99 kr. / month · Cancel anytime

  • Podcasts kun på Podimo
  • 20 lydbogstimer pr. måned
  • Gratis podcasts

All episodes

168 episodes