Habari RFI-Ki

Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana

9 min · I går9 min
episode Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana cover

Description

Mkutano wa Afrika forward unaoongozwa na Ufaransa umeanza leo jijini Nairobi ambapo karibia marais 30 ,kutoka barani Afrika wanatarajiwa kuudhuria ili kujadili ushirikiano katika sekta ya uchumi wa buluu, mazingira ,afya na kilimo. Mkutano huu umetoa kipaumbele ka ajenda zinazowahusu vijana, na hasa matumizi ya teknolojia, akili unde au AI na namna vijana wanaweza kukumbatia fursa katika sekta hizo.

Comments

0

Be the first to comment

Sign up now and become a member of the Habari RFI-Ki community!

Get Started

2 months for 19 kr.

Then 99 kr. / month · Cancel anytime.

  • Podcasts kun på Podimo
  • 20 lydbogstimer pr. måned
  • Gratis podcasts
Get Started

All episodes

13 episodes