Gurudumu la Uchumi

Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika

10 min · 22 de jul de 2026
Portada del episodio Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika

Descripción

Katika Makala haya hivi leo tunajadili uhusiano kati ya siasa za kimataifa na uchumi wa wananchi wa Afrika, mara yingi tunasikia taarifa za vita, migogoro ya kisiasa au mivutano kati ya mataifa makubwa kama Urusi na Ukraine, Mashariki ya Kati, au migogoro inayovuruga usafirishaji wa bidhaa duniani. Kuzungumzia hili, hivi leo nimemualika Safari Fungo, mtaalamu wa masuala ya uchumi, utangamano wa kikanda na biashara za kimataifa akiwa Dar es Salaam, Tanzania.

Comentarios

0

Sé la primera persona en comentar

¡Regístrate ahora y únete a la comunidad de Gurudumu la Uchumi!

Empezar

2 meses por 1 €

Después 4,99 € / mes · Cancela cuando quieras

  • Podcasts exclusivos
  • 20 horas de audiolibros / mes
  • Podcast gratuitos

Todos los episodios

168 episodios