Habari RFI-Ki

Habari RFI-Ki

Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana

9 min · Ayer9 min
Portada del episodio Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana

Descripción

Mkutano wa Afrika forward unaoongozwa na Ufaransa umeanza leo jijini Nairobi ambapo karibia marais 30 ,kutoka barani Afrika wanatarajiwa kuudhuria ili kujadili ushirikiano katika sekta ya uchumi wa buluu, mazingira ,afya na kilimo. Mkutano huu umetoa kipaumbele ka ajenda zinazowahusu vijana, na hasa matumizi ya teknolojia, akili unde au AI na namna vijana wanaweza kukumbatia fursa katika sekta hizo.

Comentarios

0

Sé la primera persona en comentar

¡Regístrate ahora y únete a la comunidad de Habari RFI-Ki!

Empezar

2 meses por 1 €

Después 4,99 € / mes · Cancela cuando quieras.

  • Podcasts solo en Podimo
  • 20 horas de audiolibros / mes
  • Podcast gratuitos
Empezar

Todos los episodios

13 episodios