Siha Njema

Siha Njema

Watalaam wasisitiza uwekezaji wa utafiti wa DNA barani Afrika

9 min · 5 de may de 2026
Portada del episodio Watalaam wasisitiza uwekezaji wa utafiti wa DNA barani Afrika

Descripción

Utafiti unaoangazia vinasaba katika ukanda wa Afrika unaweza kuwa jawabu kwa ubainishaji potovu,gharama ya juu ya matibabu na usugu wa vimelea .  Kwa kuanzia , Mashirika matatu ya Afrika ya kitafiti  yametangaza mkataba wa dola milioni 3 nukta 5 ambao utawekezwa  kwenye utafiti  huu wa DNA  barani . Mashirika haya yakiwa ni Biolinx Africa,  YTO Foundation  yenye makao Ivory Coast na  Nextgen Molecular Lab nchini Kenya.

Comentarios

0

Sé la primera persona en comentar

¡Regístrate ahora y únete a la comunidad de Siha Njema!

Empezar

2 meses por 1 €

Después 4,99 € / mes · Cancela cuando quieras.

  • Podcasts exclusivos
  • 20 horas de audiolibros / mes
  • Podcast gratuitos

Todos los episodios

226 episodios