Gurudumu la Uchumi

Kutoka taslimu hadi kidijitali: Namna simu zinavyobadili mfumo wa malipo Afrika

10 min · 10. kesä 2026
jakson Kutoka taslimu hadi kidijitali: Namna simu zinavyobadili mfumo wa malipo Afrika kansikuva

Kuvaus

Ufanyaji biashara na utumaji wa fedha kwa njia ya simu za kiganjani barani Afrika unakua kwa kasi, pochi za simu zimerekodi takriban asilimia 19 ya uingiaji wa pesa kwenye eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku wastani wa gharama ya utumaji pesa ukishuka hadi karibu asilimia 3.54 hii ni kwa mujibu wa benki ya dunia. Kwanye Makala ya Gurudumu la uchumi wiki hii, tunaangazia matumizi ya telknolojia za malipo ya mtandaoni hasa kupitia simu, jina langu ni Emmanuel Makundi, Karibu.

Kommentit

0

Ole ensimmäinen kommentoija

Rekisteröidy nyt ja liity Gurudumu la Uchumi-yhteisöön!

Aloita maksutta

14 vrk ilmainen kokeilu

Kokeilun jälkeen 7,99 € / kuukausi. · Peru milloin tahansa

  • Podimon podcastit
  • 20 kuunteluaikaa / kuukausi
  • Lataa offline-käyttöön

Kaikki jaksot

168 jaksot