Gurudumu la Uchumi

Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika

10 min · 22. heinä 2026
jakson Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika kansikuva

Kuvaus

Katika Makala haya hivi leo tunajadili uhusiano kati ya siasa za kimataifa na uchumi wa wananchi wa Afrika, mara yingi tunasikia taarifa za vita, migogoro ya kisiasa au mivutano kati ya mataifa makubwa kama Urusi na Ukraine, Mashariki ya Kati, au migogoro inayovuruga usafirishaji wa bidhaa duniani. Kuzungumzia hili, hivi leo nimemualika Safari Fungo, mtaalamu wa masuala ya uchumi, utangamano wa kikanda na biashara za kimataifa akiwa Dar es Salaam, Tanzania.

Kommentit

0

Ole ensimmäinen kommentoija

Rekisteröidy nyt ja liity Gurudumu la Uchumi-yhteisöön!

Aloita maksutta

14 vrk ilmainen kokeilu

Kokeilun jälkeen 7,99 € / kuukausi. · Peru milloin tahansa

  • Podimon podcastit
  • 20 kuunteluaikaa / kuukausi
  • Lataa offline-käyttöön

Kaikki jaksot

168 jaksot