Habari RFI-Ki
Na Hannah Nalianya Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote kuhusiana na matangazo yetu. Skiza maoni ya Juma hili
Sé la primera persona en comentar
¡Regístrate ahora y únete a la comunidad de Habari RFI-Ki!
$99 / mes después de la prueba. · Cancela cuando quieras.
17 episodios
Maoni ya mskilizaji Wiki hii kutokana na matangazo yetu
Argentina kuvaana na Uhuspania kwenye fainali
Fainali ya kombe la dunia katika mchezo wa soka, itawakutanisha mabingwa watetezi Argentina na Hispania waliowahi kushinda taji hili mwaka 2010. Mechi hiyo itapigwa siku ya Jumapili nchini Marekani. Unatarajia nani ataibuka mshindi katika mechi hiyo na kwanini. Skiza ya mskilizaji
Ufaransa yaondolewa kwenye kombe la dunia
Na Hannah Naliaka Safari ya Ufaransa kutinga fainali za kombe la dunia imefikia tamati baada ya kushindwa mabao 2-0 na Uhispania katika nusu fainali ya kwanza. Unazungumziaje mechi hiyo ? Skiza maoni ya mskilizaji.
Bara Ulaya linatathimini kudhibiti mitandao kwa watoto
Umoja wa Ulaya unatathmini kuweka marufuku ya matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto kutokana na athari za mitandao hiyo kwa watoto. Unazungumziaje pendekezo hili? Skiza maoni ya mskilizaji.
Nani atabeba kombe la dunia mwaka huu
Fainali za kombe la dunia zimefikia hatua ya nusu fainali, huku timu nne zikisalia kwenye mbio za kutwaa ubingwa. Uhispania itacheza na Ufaransa, wakati Uingereza itapambana na mabingwa watetezi Argentina. Unatathmini vipi hatua iliyofikia? Skiza maoni ya mskilizaji.
Comentarios
0Sé la primera persona en comentar
¡Regístrate ahora y únete a la comunidad de Habari RFI-Ki!