Lets Read
Karibu katika sehemu ya pili ya Msimu huu wa pili. Leo tuko na Lello Mmassy, ambaye ni mwandishi wa simulizi ya MIMI NA RAIS na nyingine. Pia ni mwanzilishi wa program tumishi (APPLICATION) ya SIMULIZI AFRICA. Karibu kujifunza kutoka kwenye historia yake katika uandishi. #Jilinde #StaySafe #Covid19
18 episodios
Comentarios
0Sé la primera persona en comentar
¡Regístrate ahora y forma parte de la comunidad de Lets Read!