Gurudumu la Uchumi

Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika

10 min · 22 jul 2026
aflevering Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika artwork

Beschrijving

Katika Makala haya hivi leo tunajadili uhusiano kati ya siasa za kimataifa na uchumi wa wananchi wa Afrika, mara yingi tunasikia taarifa za vita, migogoro ya kisiasa au mivutano kati ya mataifa makubwa kama Urusi na Ukraine, Mashariki ya Kati, au migogoro inayovuruga usafirishaji wa bidhaa duniani. Kuzungumzia hili, hivi leo nimemualika Safari Fungo, mtaalamu wa masuala ya uchumi, utangamano wa kikanda na biashara za kimataifa akiwa Dar es Salaam, Tanzania.

Reacties

0

Wees de eerste die een reactie plaatst

Meld je nu aan en word lid van de Gurudumu la Uchumi community!

Probeer gratis

Probeer 14 dagen gratis

€ 9,99 / maand na proefperiode. · Elk moment opzegbaar

  • Podcasts die je alleen op Podimo hoort
  • 20 uur luisterboeken / maand
  • Gratis podcasts

Alle afleveringen

168 afleveringen