Augustine Thumbi
Mpendwa,ubarikiwe saana,unapoyasikiliza mashairi haya ya kumtukuza Mungu.Ni maneno ya uzima yatakayokupa faraja katika Hali yako hii,na katika ulimwengu huu uliotibuka kwa Kila tafrani ya dhiki.Natamani tushiriki pamoja ,katika tuo hili la faraja.Amina
2 Episoder
Kommentarer
0Vær den første til å kommentere
Registrer deg nå og bli medlem av Augustine Thumbi sitt community!