Habari RFI-Ki
Wiki iliyopita, maelfu ya raia wa mataifa mbalimbali ya Afrika waliondoka Afrika Kusini kutokana na hofu ya usalama baada ya maandamano yaliyolenga wageni. Baadhi ya nchi zimeikosoa serikali ya Afrika Kusini kwa kushindwa kudhibiti hali hiyo.
18 Episoder
Kommentarer
0Vær den første til å kommentere
Registrer deg nå og bli medlem av Habari RFI-Ki sitt community!