Wanangu podcast
Katika episode hii tunaingia ndani ya kisa cha Ted Kaczynski, maarufu kama "Unabomber", mwanazuoni aliyeacha taaluma yake na kuanza kushambulia wanasayansi kwa mabomu aliyoyatengeneza mwenyewe. Nini hasa kilimsukuma kufikia hatua hiyo? Pia, tunaangazia mawazo yake kuhusu teknolojia na jamii, hasa kupitia andiko lake la "Industrial Society and Its Future". Ni simulizi fupi lakini nzito na ya kukufanya utafakari upya kuhusu maendeleo ya dunia, na gharama zake.
94 Folgen
Kommentare
0Sei die erste Person, die kommentiert
Melde dich jetzt an und werde Teil der Wanangu podcast-Community!