Gurudumu la Uchumi

Mkutano wa 'Africa Forward' una maana gani kwa mustakabali wa Afrika

9 min · 6 de may de 2026
Portada del episodio Mkutano wa 'Africa Forward' una maana gani kwa mustakabali wa Afrika

Descripción

Tarehe 11 na 12 ya wiki ijayo, Jiji la Nairobi, Kenya litakuwa mwenyeji wa mkutano wa kwanza wa kihistoria wa ‘Africa Forward’ kati ya Ufaransa na Afrika, mkutano ambao unafanyika kwenye nchi inazungumza Kingereza, ambapo viongozi wa Afrika, wafanyabiashara na wabunifu vijana kutoka Afrika na Ufaransa watakongamana kwa siku mbili. Kwenye Makala ya Gurudumu la Uchumi hivi leo tunaangazia uhusiano mpya kati ya Ufaransa na Afrika, wachambuzi wetu ni Ali Mkimo na Hamduni Marcel.

Comentarios

0

Sé la primera persona en comentar

¡Regístrate ahora y únete a la comunidad de Gurudumu la Uchumi!

Prueba gratis

Empieza 7 días de prueba

$99 / mes después de la prueba. · Cancela cuando quieras.

  • Podcasts solo en Podimo
  • 20 horas de audiolibros al mes
  • Podcast gratuitos

Todos los episodios

24 episodios