Gurudumu la Uchumi

Kutoka taslimu hadi kidijitali: Namna simu zinavyobadili mfumo wa malipo Afrika

10 min · 10 de jun de 2026
Portada del episodio Kutoka taslimu hadi kidijitali: Namna simu zinavyobadili mfumo wa malipo Afrika

Descripción

Ufanyaji biashara na utumaji wa fedha kwa njia ya simu za kiganjani barani Afrika unakua kwa kasi, pochi za simu zimerekodi takriban asilimia 19 ya uingiaji wa pesa kwenye eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku wastani wa gharama ya utumaji pesa ukishuka hadi karibu asilimia 3.54 hii ni kwa mujibu wa benki ya dunia. Kwanye Makala ya Gurudumu la uchumi wiki hii, tunaangazia matumizi ya telknolojia za malipo ya mtandaoni hasa kupitia simu, jina langu ni Emmanuel Makundi, Karibu.

Comentarios

0

Sé la primera persona en comentar

¡Regístrate ahora y únete a la comunidad de Gurudumu la Uchumi!

Prueba gratis

Empieza 7 días de prueba

$99 / mes después de la prueba. · Cancela cuando quieras.

  • Podcasts solo en Podimo
  • 20 horas de audiolibros al mes
  • Podcast gratuitos

Todos los episodios

24 episodios