Siha Njema

Majanga yanaweza kusababisha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa watoto

9 min · 6. juni 2026
episode Majanga yanaweza kusababisha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa watoto cover

Beskrivelse

Mataifa ya Afrika yameshuhudia mafuriko katika miaka ya hivi karibuni ,hali ambayo imesababisha wananchi wengi kulazimika kuhama makazi yao Nchini Kenya ,ukanda wa magharibi ,katika eneo la Busia,mafuriko hayo yamevuruga kalenda za wanafunzi wa shule ,watoto wengi wakishindwa kuendelea na shule au kukubaliana na msongamano kwenye shule chache ambazo ziko maeneo salama Hali hii imewasababisha changamoto za afya ya akili anavyoeleza mwaandishi wetu Petronila Ogalo.

Kommentarer

0

Vær den første til å kommentere

Registrer deg nå og bli medlem av Siha Njema sitt community!

Prøv gratis

Prøv gratis i 14 dager

99 kr / Måned etter prøveperioden. · Avslutt når som helst.

  • Eksklusive podkaster
  • 20 timer lydbøker i måneden
  • Gratis podkaster

Alle episoder

226 Episoder