Siha Njema

Watalaam wasisitiza uwekezaji wa utafiti wa DNA barani Afrika

9 min · 5. mai 2026
episode Watalaam wasisitiza uwekezaji wa utafiti wa DNA barani Afrika cover

Beskrivelse

Utafiti unaoangazia vinasaba katika ukanda wa Afrika unaweza kuwa jawabu kwa ubainishaji potovu,gharama ya juu ya matibabu na usugu wa vimelea .  Kwa kuanzia , Mashirika matatu ya Afrika ya kitafiti  yametangaza mkataba wa dola milioni 3 nukta 5 ambao utawekezwa  kwenye utafiti  huu wa DNA  barani . Mashirika haya yakiwa ni Biolinx Africa,  YTO Foundation  yenye makao Ivory Coast na  Nextgen Molecular Lab nchini Kenya.

Kommentarer

0

Vær den første til å kommentere

Registrer deg nå og bli medlem av Siha Njema sitt community!

Prøv gratis

Prøv gratis i 14 dager

99 kr / Måned etter prøveperioden. · Avslutt når som helst.

  • Eksklusive podkaster
  • 20 timer lydbøker i måneden
  • Gratis podkaster

Alle episoder

226 Episoder