Augustine Thumbi
Mpendwa,ubarikiwe saana,unapoyasikiliza mashairi haya ya kumtukuza Mungu.Ni maneno ya uzima yatakayokupa faraja katika Hali yako hii,na katika ulimwengu huu uliotibuka kwa Kila tafrani ya dhiki.Natamani tushiriki pamoja ,katika tuo hili la faraja.Amina
2 Folgen
Kommentare
0Sei die erste Person, die kommentiert
Melde dich jetzt an und werde Teil der Augustine Thumbi-Community!